Ibliys Akimteka Mwana Aadam Kwa Mojawapo Ya Mambo Matatu; Amekumaliza
Imaam Fudhwayl Bin ‘Iyyaadhw (Rahimahu Allaah)
“Ibliys akimteka mwana Aadam kwa mojawapo ya matatu husema: “Basi sitotafuta jingine kutoka kwake; Kujiona (kiburi), kudhania 'amali zake ni nyingi na kusahau madhambi yake.”
[Siyar A’laam An-Nubalaa li Imaam Adh-Dhahabiy]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/201
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7692&title=Imaam%20Fudhwayl%20Bin%20%E2%80%98Iyyaadhw%20-%20Ibliys%20Akikuteka%20Kwa%20Mojawapo%20Ya%20Mambo%20Matatu%3B%20Amekumaliza