Mikate Ya Maji Ya Vitunguu Na Kotimiri
Vipimo
Unga mweupe - 2 vikombe vikubwa
Mayai - 2
Vitunguu - 2
Kotimiri - 1 msongo (bunch)
Maziwa - 3 vijiko vya kulia
Maji - 3 Vikombe
Chumvi - 1 kijiko cha chai
Samli ya kupikia
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Kidokezo:
Ukipenda pika katika kikaangio cha kutoa mkate mmoja.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7693&title=Mikate%20Ya%20Maji%20Ya%20Vitunguu%20Na%20Kotimiri%20