Kuku Wa Kubanika Kwa Sosi Tamu Kali Ya Ukwaju
Vipimo
Kuku 1 mkate mapande manne makubwa
Thomu (kitunguu saumu/garlic) iliyosagwa vijiko 2 vya supu
Ukwaju kamua uwe mzito kikombe cha chai 1
Nyanya kopo vijiko 2 vya kulia
Sosi ya nyanya (tomato ketchup) vijiko 2 vya kulia
Paprika (pilipili tamu ya unga) kijiko 1 cha kulia
Asali vijiko 2 vya kulia
Mafuta vijiko 2 vya kulia
Chumvi 1 kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/107
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8513&title=Kuku%20Wa%20Kubanika%20Kwa%20Sosi%20Tamu%20Kali%20Ya%20Ukwaju