Usiwe Na Kasumba Na Mlinganiaji
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
“Usiwe na kasumba na mlinganiaji au mtengenezaji ikiwa amepinda katika haki. Kwa sababu haki si kwa (kutazamwa) wingi wa watu, bali haki ni kwa kuwafikiana na Kitabu (Qur-aan) na Sunnah.”
[Ash-Sharhu Al-Mumti’, mj. 4, uk.379]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/228
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8759&title=Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Usiwe%20Na%20Kasumba%20Na%20Mlinganiaji