Kuapa Kwa Kuweka Mkono Kwenye Qur-aan Ni Jambo Halina Dalili
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
Amesema Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah):
“Kuweka mkono kwenye Mswahafu na kuapia (ni jambo) lisilo na asli (katika Dini; halina dalili), bali hicho ni kitendo cha watu wasio na elimu."
[Sharhu Ighaathati Al-Lahfaan]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/222
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8955&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Kuapa%20Kwa%20Kuweka%20Mkono%20Kwenye%20Qur-aan%20Ni%20Jambo%20Halina%20Dalili