Fatwaair Za Mchicha
Vipimo Vya Unga Wa Fatwaair
Unga - 4 Magi (au vikombe vya chai)
Maziwa ya maji - 1 ½
Maziwa ya unga – vijiko vya kulia
Sukari - 3 Vijiko vya kulia
Mafuta - Robo Magi
Mtindi – Vijiko 3 vya kulia
Hamira - 1 kijiko kikubwa cha kulia
Baking powder – 1 kijiko cha chai
Chumvi - robo kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Mchanganyiko Wa Fatwaair
Vipimo Vya Mjazo Wa Mchicha
Mchicha – Kiasi cha kutokea vikombe 4 baada ya kukatwakatwa
Siagi (butter isiyo na chumvi) vijiko 3 vya kulia
Kitunguu – kilokatwakatwa – 1
Chumvi kaisi kidogo sana
Paprika (aina ya pilipili au bizari) – 1 kijiko cha chai
Sumac (aina ya ndimu nyekundu ya chengachenga) – 1 kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Mjazo Wa Mchicha
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/186
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9144&title=Fatwaair%20Za%20Mchicha%20