Hakuna ‘Ibaadah Yoyote Iliyothibiti Kutendwa Katika Mwezi Wa Rajab
Imaam Al-Haafidhw Ibn Hajar (Rahimahu-Allaah)
Imaam Al-Haafidhw Ibn Hajar (Rahimahu Allaah) amesema:
“Hakuna kilichothibiti katika fadhila za mwezi wa Rajab wala katika Swiyaam (funga) zake wala katika Swiyaam khaswa humo wala Qiyaamul-Layl (kuswali usiku) makhsusi ndani yake chochote katika Hadiyth Swahiyh." [Tabyiyn Al-'Ajab, uk. 11]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/221
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9616&title=Imaam%20Ibn%20Hajar%3A%20Hakuna%20%E2%80%98Ibaadah%20Yoyote%20Iliyothibiti%20Kutendwa%20Katika%20Mwezi%20Wa%20Rajab