09-Akiona Damu Isiyothibitika Kuwa Ni Hedhi Nini Hukmu Ya Swawm Yake
Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Mwanamke akiona damu lakini hakuthibitisha au kuwa na hakika kuwa ni damu ya hedhi. Ni nini hukumu ya Swawm yake siku ile?
JIBU:
Swawm yake siku ile ni sahihi kwani asili ya jambo ni kuwa hana hedhi hadi athibitishe kuwa ana hedhi.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10078&title=09-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Akiona%20Damu%20Isiyothibitika%20Kuwa%20Ni%20Hedhi%20Nini%20Hukmu%20Ya%20Swawm%20Yake%3F