Inafaa Kumkosoa Anayechinja Kwa Ajili Ya Maiti?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Je katika hali hiyo (kuchinja kwa asiyekuwa Allaah) tunatakiwa kumkosoa aliyechinja kwa ajili ya maiti?
JIBU:
Lau mtu akifanya hivyo hatutomkosoa bali tutamuelekeza kile kilicho bora zaidi nayo ni dua'a kwa maiti.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/122)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10103&title=04-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Inafaa%20Kumkosoa%20Anayechinja%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Maiti