Aliyeoa Na Kuishi Na Baba Yake Udhwhiya Ya Baba Yake Inamtosheleza?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Kijana aliyeoa mwenye mali anayekaa na babake je Udhwhiyah (kichinjo) ya babake kitamtosheleza?
JIBU:
a-Sunnah ni mtu kuchinja kwa ajili yake na watu wa nyumbani kwake wakubwa kwa wadogo.
b-Ama ikiwa kila mmoja anakaa nyumba yake tofauti basi kila mmoja anatakiwa achinje alipo (kivyake).
[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/38)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10105&title=06-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Aliyeoa%20Na%20Kuishi%20Na%20Baba%20Yake%20Udhwhiya%20Ya%20Baba%20Yake%20Inamtosheleza%3F