Wakati Na Siku Za Kupasa Udhwhiya (Kuchinja)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Wakati wa Udhwhiya ni baada ya Swalaah ya 'Iyd (Al-Adhwhaa) hadi kuzama kwa jua siku ya kumi na tatu, kwa maana ni siku nne (jumla); Siku ya ‘Iyd na siku tatu baada ya hapo.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/12)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10112&title=13-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Wakati%20Na%20Siku%20Za%20Kupasa%20Udhwhiya%20%28Kuchinja%29%20