Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
36-Mwanamke Anayetokwa Majimaji Anafaa Kusoma Qur-aan
Na Kuswali Swalaah Za Sunnah?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Mwanamke akitawadha ambae hutokwa na majimaji haya kwa ajili ya Swalaah ya faradhi je ni sahihi kwake aswali anachotaka kwa ajili ya Sunnah na kusoma Qur-aan kwa wudhu wa faradhi ile kwa ajili ya faradhi nyingine?
JIBU:
Akitawadha kwa ajili ya Swalaah ya faradhi kwa wakati wake wa mwanzo basi ni juu yake kuswali faradhi, Sunnah au kusoma Qur-aan hadi wakati mwingine wa Swalaah nyingine.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10143&title=36-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Mwanamke%20Anayetokwa%20Majimaji%20Anafaa%20Kusoma%20Qur-aan%20Na%20Kuswali%20Swalaah%20Za%20Sunnah%3F