Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
41-Majimaji Yanayomtoka Mwanamke Anapaswa Afanyeje?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Nini kinacholazimu pindi kiwiliwili au inapopatwa na majimaji hayo?
JIBU:
Akiwa ni tohara haimlazimu chochote, na ikiwa ni najisi ambayo inatoka katika kinena basi ni wajibu wake kusafisha.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10162&title=41-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Majimaji%20Yanayomtoka%20Mwanamke%20Anapaswa%20Afanyeje%3F