Swahiyh Fiqh As-Sunnah
Mlango Wa Hajj Na ‘Umrah
01-Taarifu Ya Hajj
Alhidaaya.com [1]
Asili ya maana ya Al-Hajji (الحجُّ) katika lugha, ni kukusudia. Ni kwa kufatahisha “Haa”, na inajuzu kwa kasrah “Al-Hijju”, nayo ni nadra sana. Inasemekana kuwa inatokana na neno lako: (حججتُه) unapomwendea mtu mara kwa mara. Na inasemekana kuwa kinyume na hilo, na la kwanza ndilo mashuhuri. [Taaj Al-‘Aruws na Al-Majmuw’u (7/7)]
Ama katika istilahi ya kisharia, ni kuikusudia Nyumba Tukufu ya Allaah na Maeneo Maalum ya Kutekelezea amali na ‘ibaadah maalum za Hajji katika wakati maalum, na kwa namna maalum.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10591&title=01-Swahiyh%20Fiqh%20As-Sunnah%3A%20Mlango%20Wa%20Hajj%20Na%20%27Umrah%3A%20Taarifu%20Ya%20Hajj