Sharh Asmaa Allaah Al-Husnaa Wa Swifaatihi
(Maelezo Ya Majina Mazuri Ya Allaah Na Swiffah Zake)
Alhidaaya.com [1]
الْمُبِينُ
الْمُبِينُ Al-Mubiyn Mwenye Kubainisha
|
Anasema Allaah (سبحانه وتعالى):
يَوْمَئِذٍ يُوَفِّيهِمُ اللَّـهُ دِينَهُمُ الْحَقَّ وَيَعْلَمُونَ أَنَّ اللَّـهَ هُوَ الْحَقُّ الْمُبِينُ ﴿٢٥﴾
Siku hiyo Allaah Atawalipa kikamilifu malipo yao ya haki; na watajua kwamba Allaah Ndiye wa Haki, Mwenye kubainisha. [An-Nuwr (24): 25]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10707&title=67-Sharh%20Asmaa%20Allaah%20Al-Husnaa%20Wa%20Swifaatihi%3A%20%D8%A7%D9%84%D9%92%D9%85%D9%8F%D8%A8%D9%90%D9%8A%D9%86%D9%8F