Hadiyth: Husnul-Khuluq (Tabia Njema)
Hadiyth Ya 11
Wema Ni Katika Husnul-Khuluq
Alhidaaya.com [1]
وعن النَّوَاس بنِ سمعان رضي الله عنه ، قَالَ : سألتُ رسولَ الله صلى الله عليه وسلم عن البِرِّ وَالإثم ، فَقَالَ : (( البِرُّ : حُسنُ الخُلقِ ، والإثمُ : مَا حاك في صدرِك ، وكَرِهْتَ أن يَطَّلِعَ عَلَيْهِ النَّاسُ )) رواه مسلم .
Imepokewa kutoka kwa An-Nawwaas bin sam'aan (Radhwiya Allaahu 'anhu) amesema: Nilimuuliza Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kuhusu wema na dhambi akasema: "Wema ni Husnul-Khuluq (Tabia njema) na dhambi ni iliokera nafsini mwako na ukachukia watu kuiona." [Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10866&title=11-Hadiyth%20Husnul-Khuluq%3A%20Wema%20Ni%20Katika%20Husnul-Khuluq