Hadiyth: Fadhila Za ‘Ilmu Na ‘Ulamaa
Hadiyth Ya 09
‘Ilmu Inayonufaisha Inaendelea Kumpatia Ujira Mtu Baada Ya Kufariki
Alhidaaya.com [1]
عَنْ أَبِي هُرَيْرَة (رضي الله عنه) أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((إِذَا مَاتَ ابْنُ آدَم انْقَطَعَ عَمَلُهُ إلاَّ مِنْ ثَلاَث: صَدَقَةٍ جَارِيَةٍ أَوْ عِلْمٍ يُنْتَفَعُ بِهِ أَوْ وَلَدٍ صَالِحٍ يَدْعُو لَهُ)) مسلم
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Hurayrah (رضي الله عنه) kwamba Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ((Bin Aadam akifa, ‘amali zake hukatika isipokuwa mambo matatu: Swadaqah inayoendelea, au elimu inayonufaisha, au mtoto mwema anayemuombea du’aa)). [Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10891&title=09-Hadiyth%3A%20Fadhila%20Za%20%27Ilmu%20Na%20%27Ulamaa%3A%20%E2%80%98Ilmu%20Inayonufaisha%20Inaendelea%20Kumpatia%20Thawabu%20Mtu%20Baada%20Ya%20Kufariki