Hadiyth Al-Qudsiy
Hadiyth Ya 26
Usijfanye Duni Kwa Kuogopa Watu Kusema Jambo Kwani Allah Ana Haki Zaidi Ya Kuogopwa
عَنْ أَبِي سَعِيدٍ الْخُدْرِيِّ قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: ((لَا يَحْقِرَنَّ أَحَدُكُمْ نَفْسَهُ إِذَا رَأَى أَمْرًا لِلَّهِ فِيهِ مَقَالٌ أَنْ يَقُولَ فِيهِ، فَيُقَالُ لَهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ: مَا مَنَعَكَ أَنْ تَقُولَ فِيهِ؟ فَيَقُولُ رَبِّ! خَشِيتُ النَّاسَ، قَالَ: فَأَنَا أَحَقُّ أَنْ تَخْشَى)) مسند أحمد
Abuu Sa’iyd Al-Khudriyy amehadithia kwamba: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Asijifanye duni mmoja wenu atakapoona jambo la Allaah ambalo angeliweza kusema kitu juu yake lakini asiseme (aogope), kwa hivyo Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Humwambia siku ya Qiyaamah: Kipi kilichokuzuia usiseme kitu kuhusu jambo kadhaa wa kadhaa? Husema: Nikiogopa watu. Kisha Mola Atasema: Ni mimi Ndiye ninayepaswa kuogopwa.” [Musnad Ahmad]
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2679&title=26-Hadiyth%20Al-Qudsiy%3A%20Usijfanye%20Duni%20Kwa%20Kuogopa%20Watu%20Kusema%20Jambo%20Kwani%20Allah%20Ana%20Haki%20Zaidi%20Ya%20Kuogopwa%20%20%20%20%20