Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
31-Je, Waumini watamuona Rabb wao watakapoingia Jannah?
Naam. Waumini watamuona Rabb wao watakapoingia Jannah.
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاضِرَةٌ ﴿٢٢﴾
Nyuso siku hiyo zitanawiri.
إِلَىٰ رَبِّهَا نَاظِرَةٌ﴿٢٣﴾
Zikimtazama Rabb wake. [Al-Qiyaamah: 22-23]
(إنَّكُمْ سَتَرون رَبكُم) رواه البخاري ومسلم
((Hakika nyinyi mtamuona Rabb wemu)) [Al-Bukhaariy na Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7790&title=31-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Je%2C%20Waumini%20watamuona%20Rabb%20wao%20watakapoingia%20Jannah%3F