Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
34-Je, Inajuzu kuapa kwa mwengine asiye Allaah?
Hapana! Haijuzuu kuapa kiapo kisicho cha Allaah.
قُلْ بَلَىٰ وَرَبِّي لَتُبْعَثُنَّ
Bali hapana! Naapa kwa Rabb wangu, bila shaka mtafufuliwa [At-Taghaabun: 7]
((مَنْ حَلَفَ بِغَيْرِ اللَّهِ فَقَدْ كَفَرَ أَوْ أَشْرَكَ)) رواه الترمذي وأبو داود وصححه الألباني في صحيح الترمذي .
((Atakayeapa pasi na Allaah, atakuwa amekufuru au amemshirikisha Allaah])) [At-Tirmidhiy, Abu Daawuwd na ameipa daraja ya Swahiyh Al-Albaaniy katika Swahiyh At-Tirmidhiy]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7794&title=34-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Je%2C%20Inajuzu%20kuapa%20kwa%20mwengine%20asiye%20Allaah%3F