Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
51-Tufanye nini pale tunapokhitilafiana?
Pale tunapokhitilafiana, inatupasa turejee katika Qur-aan na Sunnah Sahihi?
فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّـهِ وَالرَّسُولِ
Mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Allaah na Rasuli [An-Nisaa: 59]
((تَرَكْتُ فِيكُمْ أَمْرَيْنِ لَنْ تَضِلُّوا مَا تَمَسَّكْتُمْ بِهِمَا: كِتَابَ اللهِ وَسُنَّةَ نَبِيِّهِ)) صحيح لغيره رواه مالك
((Nimekuachieni viwili ambavyo mkikamatana navyo hamtopotea abadan baada yangu; Kitabu cha Allaah na Sunnah zangu)) [Swahiyh lighayrihi – ameipokea Maalik]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7811&title=51-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Tufanye%20nini%20pale%20tunapokhitilafiana%3F