Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
52-Nini Bid'ah katika Dini?
Bid’ah katika Dini ni kila kilichokuwa hakina dalili katika Shariy’ah ya Dini.
أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ شَرَعُوا لَهُم مِّنَ الدِّينِ مَا لَمْ يَأْذَن بِهِ اللَّـهُ ۚ
Je, wanao washirika waliowaamuru Dini yale ambayo Allaah Hakuyatolea idhini? [Ash-Shuwraa: 21]
((مَنْ أَحْدَثَ فِيْ أَمْرِنَا هَذَا مَا لَيْسَ مِنْهُ فَهُوَ رَدٌّ)) متّفق عَلَيهِ
Atakayezusha katika mambo yetu haya (Dini yetu) yasiyokuwemo basi kitarudishwa)) [Al-Bukhaariy, Muslim]
Yaani: Hakitokubaliwa kitendo chake
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7812&title=52-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Nini%20Bid%27ah%20katika%20Dini%3F