Aayah Na Mafunzo
An-Nisaa
Haifai Muislamu Kubishana Kwa Sauti Hadharani
لَّا يُحِبُّ اللَّـهُ الْجَهْرَ بِالسُّوءِ مِنَ الْقَوْلِ إِلَّا مَن ظُلِمَ ۚ وَكَانَ اللَّـهُ سَمِيعًا عَلِيمًا ﴿١٤٨﴾
148. Allaah Hapendi uovu utajwe hadharani isipokuwa kwa yule aliyedhulumiwa. Na Allaah daima ni Mwenye kusikia yote, Mjuzi wa yote.
Mafunzo:
Haitakiwi kwa Muislamu, mabishano ya sauti hadharani isipokuwa ikiwa mtu amedhulumiwa haki yake na anaidai.
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8200&title=148-Aayah%20Na%20Mafunzo%3A%20Haifai%20Muislamu%20Kubishana%20Kwa%20Sauti%20Hadharani%20%20