Miji Ambayo Masaa ya kufunga Swawm Ni Marefu Sana
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Tuko katika Mji ambapo jua halizami mpaka saa 3:30 au 4:00 (saa tatu au saa nne) za usiku. Ni lini tunatakiwa tufungue Swawm?
JIBU:
Utafufungua Swawm kufuturu wakati jua linapozama. Maadamu tu mko na mchana na usiku kwa masaa 24, unawajibika kufunga swiyaam, hata kama masaa ni marefu kiasi gani.
[Fataawa Islaamiyah uk. 276, mj. 2]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8378&title=04-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Miji%20Ambayo%20Masaa%20ya%20kufunga%20Swawm%20Ni%20Marefu%20Sana