Kuswali Taraawiyh Ramadhwaan Ni Lazima Aswali Mwezi Mzima?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Anayeanza kuswali Taraawiyh inampasa aendelee nayo Ramadhwaan nzima? (Au anaweza kuswali na kuacha?)
JIBU:
La! Si lazima aendelee nayo mwezi mzima kwa sababu ni Sunnah iliyosisitizwa ambayo akiswali atapata thawabu na akiacha hatokuwa na dhambi. Lakini kwa kuacha kuswali atakosa thawabu nyingi kama tulivyobainisha kabla.
[Imaam Ibn ‘Uthaymiyn - Fataawaa Ramadhwaan Mjalada 2, Uk 837 Fataawaa 831, Fiqh Al-'Ibadaat libni 'Uthaymiyn Uk. 205-206]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8430&title=07-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Kuswali%20Taraawiyh%20Ramadhwaan%20Ni%20Lazima%20Aswali%20Mwezi%20Mzima%3F