Lipi Lililo Bora Katika Kufunga Sitta Shawwaal?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) Na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
"Akifanya hima kuzifunga mwanzoni mwa mwezi basi ni bora zaidi."
[Al-Fataawaa (15/390)]
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
"Lililo bora kufanywa kuhusu Swiyaam za Sitta Shawwaal ni kuzifunga siku sita baada ya ‘Iyd na ziwe za kufufuliza."
[Al-Fataawaa (20/20)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8623&title=09-Imaam%20Ibn%20Baaz%20Na%20Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Lipi%20Lililo%20Bora%20Katika%20Kufunga%20Sitta%20Shawwaal%3F