Wanaume Kuswali Ijumaa Misikitini Wanawake Nyumbani
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Ni wajibu kwa wanaume kuswali Ijumaa pamoja na ndugu zao Waislamu katika nyumba za Allaah (Misikitini). Ama wanawake wao hawana Ijumaa na ni wajibu kwao kuswali Adhuhuri.
[Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/196)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8799&title=03-Swalaah%20Ya%20Ijumaa%3A%20Wanaume%20Kuswali%20Ijumaa%20Misikitini%20Wanawake%20Nyumbani