Kuosha Vijiwe Kwa Ajili Ya Jamaraat
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Nini hukmu ya kuosha mawe kwa ajili ya Jamaarat? (Sehemu za kurusha vijiwe)
JIBU:
Yasioshwe, kwani kufanya hivyo kwa niyyah ya ‘ibaadah kwa ajili ya Allaah, huwa ni bid’ah kwa sababu Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) hakufanya hivyo.
[Al-Bid'ah wal-Muhdathaat wa maa laa aswla lahu – Uk. 404]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9210&title=08-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Kuosha%20Vijiwe%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Jamaraat%20%20