Kumfanyia Hajj Aliyekuwa Kilema
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Nina mtoto kilema ambaye namfikiria kuwa akifanya Hajj mwenyewe nakhofu kuwa atataabika na kupata madhara. Hivyo je, naweza kumfanyia Hajj?
JIBU:
Ikiwa mtoto ni kilema kama unavyosema, basi inaruhusiwa kumfanyia fardhi ya Hajj ikiwa wewe mwenyewe umeshafanya fardh ya Hajj.
[Liqa-aat al-Baab al-Maftuwh – Mjalada 1, Uk. 45, Namba 67]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9235&title=03-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Kumfanyia%20Hajj%20Aliyekuwa%20Kilema