Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Al-Bayhaqiy: Kuutukuza Mswahafu: Haijuzu Kuuwekea Kitu Juu Yake

Imaam Al-Bayhaqiy: Kuutukuza Mswahafu: Haijuzu Kuuwekea Kitu Juu Yake

Kauli Za Salaf Qur-aan [1]

Kuutukuza Mswahafu: Haijuzu Kuuwekea Kitu Juu Yake

 

Imaam Al-Bayhaqiy (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

Shaykh As-Sunnah An-Nabawiyyah Imaam Al-Bayhaqiy (Rahimahu Allaah) amesema:

 

 

“Haiwekwi juu ya Mswahafu kitabu kingine wala nguo wala kitu chochote  ila isipokuwa ni Mswahafu mwingine juu yake.”

 

 

[Al-Bayhaqiy - Shu’ab Al-Iymaan (2/329)]

 

Faida: 

 

Hiyo ni kutokana na kauli ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) zifuatazo kuhusu kuadhimisha Vitu Vitukufu Vyake, Alama Zake za Dini na kadhalika:

 ذَٰلِكَ وَمَن يُعَظِّمْ حُرُمَاتِ اللَّـهِ فَهُوَ خَيْرٌ لَّهُ عِندَ رَبِّهِ  

Ndio hivyo iwe na yeyote anayeadhimisha vitukufu vya Allaah basi hivyo ni khayr kwake mbele ya Rabb wake. [Al-Hajj: 30]

Na Anasema pia Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):

ذَٰلِكَ وَمَن يُعَظِّمْ شَعَائِرَ اللَّـهِ فَإِنَّهَا مِن تَقْوَى الْقُلُوبِ ﴿٣٢﴾

Ndivyo hivyo, na yeyote anayeadhimisha Ishara za Allaah, basi hayo ni katika taqwa ya nyoyo. [Al-Hajj: 32]

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/10814

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/269
[2] http://www.Alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10814&title=Imaam%20Al-Bayhaqiy%3A%20Kuutukuza%20Mswahafu%3A%20Haijuzu%20Kuuwekea%20Kitu%20Juu%20Yake