Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Al-Qayyim: Kutembea Baada Ya Kula Kuimarisha Siha

Imaam Ibn Al-Qayyim: Kutembea Baada Ya Kula Kuimarisha Siha

Tiba Ya Nabiy [1]

 

Kutembea Baada Ya Kula Kuimarisha Siha

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)

 

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

 

Amesema Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)

 

Baadhi ya wafalme wamewauliza madaktari wao: Najua hutobakia kwangu, hivyo nipe wasifu wa jambo nilifuate na nichukue kutoka kwako. Twabib  akajibu: “Utakapokula usiku usilale hadi utembee walau hatua khamsini.”

 

[Atw-Twibb An-Nabawiy (Uk. 311)] 

 

 

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/10960

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/240
[2] http://www.Alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10960&title=Imaam%20Ibn%20Al-Qayyim%3A%20Kutembea%20Baada%20Ya%20Kula%20Kuimarisha%20Siha