Kaimati Za Ndizi
Vipimo
Unga - 2 vikombe vya chai
Hamira - 1 kijiko cha chai
Baking powder - 1/2 kijiko cha chai
Sukari - 3 vijiko vya supu
Samli - 1 kijiko cha chai
Yai - 1
Hiliki - 1/4 kijiko cha chai
Maji - 1 1/4 kikombe *
Ndizi mbivu zilizowiva sana - 3
Mafuta ya kukaangia - kiasi
* Maji inategemea vikombe, mchanganyiko uwe kama kaimati za kawaida.
Namna ya Kutayarisha na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/185
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1965&title=Kaimati%20Za%20Ndizi%20