Mchuzi Wa Nyama Ya Kondoo Kwa Bamia
Vipimo
Nyama ya kondoo 2 Lb (Ratili)
Kitunguu saumu (thomu/galic) na tangawizi 1 Kijiko cha supu
Bamia katakata
Pilipili mbichi iliyosagwa 1 Kijiko cha chai
Vitunguu 2
Nyanya iliyokatwa katwa 4
Chumvi kiasi
Garam masala 1 Kijiko cha supu
Pilipili manga ½ Kijiko cha chai
Nyanya ya kopo 3 Vijiko vya supu
Ndimu 1
Mafuta ya kukaangia Kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kuburudika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/108
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2136&title=Mchuzi%20Wa%20Nyama%20Ya%20Kondoo%20Kwa%20Bamia