Maandazi Ya Kukandiwa Kwa Maziwa
Vipimo
Unga - 4 vikombe vya chai
Sukari - 1 kikombe cha chai
Hamira - 1 kijiko cha chai
Samli - 1 kijiko cha chai
Maziwa - 1 ½ kikombe cha chai
Hiliki - kiasi
Mafuta ya kukaangia - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kuburudika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3185&title=Maandazi%20Ya%20Kukandiwa%20Kwa%20Maziwa