Wali Wa Nazi Wa Adesi, Bamia Na Mchuzi Wa Kamba
Vipimo
Mchele - 2 vikombe
Adesi -1 ½ vikombe
Nazi ya unga - 1 Kikombe
Maji (inategemea mchele) - 3
Chumvi - Kiasi
Vipimo Vya Bamia:
Bamia - ½ kilo
Vitunguu maji - 2 vya kiasi
Nyanya iliyosagwa - 1 kubwa
Nyanya ya kopo - 2 vijiko vya chai
Pilipili manga - ½ kijiko cha chai
Mafuta - 3 vijiko vya chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika:
Wali wa adesi
Bamia
Vipimo: Mchuzi Wa Kamba
Kamba - 1Lb
Vitunguu vilokatwa katwa - 2
Nyanya ilokatwa katwa - 2
Pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 1 Kijiko cha chai
Bizari ya mchuzi (curry powder) - ½ Kijiko cha chai
Haldi – bizari ya manajano - ½ kijiko cha chai
Nyanya ya kopo - ½ Kijiko cha chai
Ndimu - 1
Chumvi - Kiasi
Mafuta ya kukaangia - 2 Vijiko vya supu
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3781&title=Wali%20Wa%20Nazi%20Wa%20Adesi%2C%20Bamia%20Na%20Mchuzi%20Wa%20Kamba