Ugali Kwa Mchuzi Wa Nyama, Mchicha, Maharage Na Chatini Ya Pilipili Mbichi
Vipimo Vya Mchuzi Wa Nyama
Nyama ya ng’ombe vipande vidogo - 2lb
Nyanya - 1
Kitunguu Kilichoktwa katwa - 1
Mafuta - 2 vijiko vya supu
Paprika (bizari ya masala ya rangi) - ½ kijiko cha chai
Kidonge cha supu - 1
Chumvi - Kiasi
Ndimu - Kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Vipimo Vya Mboga
Mchicha ulio katwa katwa 400 gm
Nyanya 1
Kitunguu kilicho katwa 1
Nazi ya unga kiasi
Pilipili mbichi 2
Mafuta ½ kijiko cha supu
Chumvi kiasi
Namna Ya Kutayarisha na Kupika
Vipimo Vya Maharage
Maharage - 1 kopo
Kitunguu - 1
Nazi - 1 mug
Nyanya (itowe maganda) - 1 kiasi
Pilipili mbichi - 2
Mafuta - 1 kijiko cha supu
Chumvi - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na kupika
Vipimo Vya chatini Ya Pilipili mbichi
Pilipili mbichi - 4/5
Kotmiri - 1 Kijiko cha supu
Ndimu - kiasi
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 1 chembe
Mafuta ya zaituni - 2 vijiko Vya supu
Chumvi - kiasi
Namna Ya Kutayarisha
Vipimo Vya ugali
Maji - 4 Vikombe kiasi inategemea na unga
Unga wa sembe - 2 vikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4273&title=Ugali%20Kwa%20Mchuzi%20Wa%20Nyama%2C%20Mchicha%2C%20Maharage%20Na%20Chatini%20Ya%20Pilipili%20Mbichi