Shurba Ya Nyama Mbuzi - 3
Vipimo
Nyama ya mbuzi - 2lb
Nyanya - 1
Kitunguu - 1
Kidonge cha supu - 1
Maji - 4 mugs
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 1 kijiko cha supu
Bizari ya pilau(cumin) - 1 kijiko cha chai
Bizari ya manjano - ½ kijiko cha chai
Mdalasini - 1 kijiti
Shairi (oats) - 5 vijiko supu
Pilipili mbichi - 2
*Siki ya zabibu - 2 vijiko vya supu
Chumvi - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Kidokezo:
Ikiwa huna siki ya zabibu tia ndimu.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/73
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4288&title=Shurba%20Ya%20Nyama%20%20Mbuzi%20%20-%203