Mpunga Wa Nazi Kwa Mchuzi Wa Samaki Na Rojo La Bilingani Na Viazi/Mbatata
Wali Wa Nazi
Mpunga - 4 vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi - Kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Mchuzi Wa Samaki Nguru
Samaki - 4
Kitunguu saumu(thomu/galic) na tangawizi - 2 viijiko vya supu
Kitunguu maji kilokatwakawa - 2 slice ndogo
Nyanya/tungule - 4
Nyanya kopo - 3 vijiko vya supu
Pilipili mbichi - 2
Kotmiri ilokatwakatwa - 3 msongo (bunches)
Bizari ya mchuzi (simba 2) - I kijiko cha chai
Ndimu - 1 kamua
Mafuta - ¼ kikombe
Chumvi kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bilingani Za Kukaanga Na Viazi
Bilingani - 4 madogodogo
Viazi/mbatata - 3
Nyanya - 3
Majani ya mchuzi/mvuje/curry leaves - kiasi 6-7
Nnyanya kopo - 2 vijiko vya supu
Methi/uwatu ulosagwa - 1 kijiko cha chia
Rai/mustard seeds - 1 kijiko cha supu
Bizari ya manjano/haldi/turmeric - 1 kijiko cha chai
Chumvi - kiasi
Mafuta ya kukaangia - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
1. Weka mafuta ya kukaangia katika karai
2. Katakakata bilingani vipande vipande vya mraba (cubes) kaanga katika mafuta ya moto hadi yageuke rangi. Eupa weka kando.
3. Katakataka viazi/mbatata vipande vidogodogo vya mraba (cubes) Kaanga hadi viive epua weka kando.
4. Ondosha mafuta yote katika karai bakisha kidogo tu kiasi ya vijiko 2 vya supu.
5. Kaanga rai kisha majani ya mchuzi, na methi/uwatu kisha kaanga nyanya.
6. Tia nyanya ya kopo kisha changanya pamoja bilingani na viazi ikiwa tayari.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F5643&title=Mpunga%20Wa%20Nazi%20Kwa%20Mchuzi%20Wa%20Samaki%20Na%20Rojo%20La%20Bilingani%20Na%20Viazi%2FMbatata%20