Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam 'Abdul-Kariym Al-Jazariy - Mja Mwema Hafanyi Mijadala

Imaam 'Abdul-Kariym Al-Jazariy - Mja Mwema Hafanyi Mijadala

Kauli Za Salaf [1]

Mja Mwema Hafanyi Mijadala

www.alhidaaya.com [2]

 

Imaam 'Abdul-Kariym Al-Jazariy amesema:

 

"Mchaji Allaah hafanyi mijadala."

 

[Ash-Shu'ab, 8129]

 

Haytham bin Jamiyl aliulizwa: "Mtu ana ujuzi wa mas-alah ya Sunnah, je, anaweza kufanya mijadala au malumbano katika fani hiyo?" Akajibu: "Hapana, bali anapaswa kuwajulisha watu waijue Sunnah, na wakiipokea kutoka kwake ni vizuri, la wasipoipokea, basi anyamaze (asilumbane)."

 

[Jaami' Al-Bayaan Al-'Ilm Wa Fadhwlihi, 4/94]
 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/6943#comment-0

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/201
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F6943&title=Imaam%20%27Abdul-Kariym%20Al-Jazariy%20-%20Mja%20Mwema%20Hafanyi%20Mijadala