Sharbati Ya Boga Ya Mdalasini
(Kupata takriban gilasi 7 )
Vipimo
Boga lilopikwa - 2 vikombe
Maziwa ya kibati (evaporated milk) - 1 kikombe
Maziwa ya kawaida - 3 au 4 vikombe
Mdalasini wa unga - 1 kijiko cha chai
Sukari - 1/3 (robo) kikombe
Hiliki - ½ kijiko cha chai
Barafu vipande vipande - Kikombe 1
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kunywa kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/83
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7222&title=Sharbati%20Ya%20Boga%20Ya%20Mdalasini