Mboga Mchanganyiko Ya Kukaanga Na Uyoga Kwa Sosi ya Soya
Vipimo
Bakuli la kwanza:
Kitunguu kilokatwakatwa slesi - 1
Tangawizi ilosagwa - 1 kijiko cha kulia
Thomu (garlic) ilosagwa - 1 kijiko cha kulia
Karoti ilokatwa slesi nyembamba - 1
Uyoga (mushrooms) katakata vipande vipande - 1 kikombe
Koliflawa (cauliflower) katakata - ¼ ya uwa moja
Bakuli la pili:
Njegere za kijani (green peas) - 1 kikombe
Maharage ya kijani - 1 kikombe kimoja
Brokoli (broccoli) katakata vipande - ½ ya uwa moja
Figili mwitu (celery) katakata - 1 mche
Vinginevyo:
Sosi ya soya (soy sauce) - 3 vijiko vya kulia
Sukari - 1 kijiko cha chai
Unga wa mahindi mlaini (Corn starch) - 1 kijiko cha chai
Kidonge cha supu - 1
Mafuta - 3 vijiko cha kulia
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/85
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7433&title=Mboga%20Mchanganyiko%20Ya%20Kukaanga%20Na%20Uyoga%20Kwa%20Sosi%20ya%20Soya