Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Rajab: Kusherehekea Siku Ambazo Hazimo Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

Imaam Ibn Rajab: Kusherehekea Siku Ambazo Hazimo Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

Kauli Za Salaf [1]

Kusherehekea Siku Ambazo Hazimo Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

 

Imaam Ibn Rajab Al-Hanbaliy

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

Hakuna Shariy’ah kwa Waislamu kusherehekea siku yoyote ile isipokuwa ambayo imetajwa katika Shariy’ah kuwa ni siku za kusherehekewa.

 

Na siku ambazo zimewekewa Shariy’ah ni ‘Iydul-Fitwr, na ‘Iydul-Adhwhaa, na masiku ya Tashriyq, na siku ya Ijumaa.

 

Na ni bid’ah kufanya siku yoyote ile kuwa ni siku ya sherehe siku ambazo hakuna dalili katika Shariy’ah ya kufanya hayo.

 

[Latwaaif Al-Ma’aarif (228)]

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7610

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/201
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7610&title=Imaam%20Ibn%20Rajab%3A%20Kusherehekea%20Siku%20Ambazo%20Hazimo%20Katika%20Shariy%E2%80%99ah%20Ni%20Bid%E2%80%99ah