Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Shaykh 'Abdul-Muhsin Al-'Abbaad: Maulidi: Kula Chakula Kinachoandaliwa Kwa Ajili Ya Bid’ah

Shaykh 'Abdul-Muhsin Al-'Abbaad: Maulidi: Kula Chakula Kinachoandaliwa Kwa Ajili Ya Bid’ah

Shaykh 'Abdul-Muhsin Al-'Abbaad [1]

 

Kula Chakula Kinachoandaliwa Kwa Ajili Ya Bid’ah Kama Ya Mawlid

 

Shaykh ‘Abdul-Muhsin Al-‘Abbaad (Hafidhwahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2] 

 

 

SWALI:

 

Je, inafaa kula chakula cha watu wa bid’ah kwa kujua kwamba wanaandaa chakula hicho kwa ajili ya bid’ah hiyo, kama kuandaa chakula cha mawlid ya Nabiy?

 

 

JIBU:

 

Ni waajib kuwatanabahisha kwamba wanavuka mipaka katika bid’ah, na kwamba wasifanye yaliyoharamishwa. 

 

Na mtu hatakiwi kula chakula kinachoandaliwa kwa ajili ya  mambo ya bid’ah na mambo yaliyoharamishwa. 

Kwa hiyo hapasi mtu kutumia chakula hicho bali inampasa atanabahi na atahadhari kuingia katika mambo hayo yaliyoharamishwa.

 

 

[Shaykh ‘Abdul-Muhsin Al-‘Abbaad

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7640

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/211
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7640&title=Shaykh%20%27Abdul-Muhsin%20Al-%27Abbaad%3A%20Maulidi%3A%20Kula%20Chakula%20Kinachoandaliwa%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Bid%E2%80%99ah%20