Keki Ya Tende Ya Mdalasini
Vipimo
Unga - 5 ½ vikombe
Tende (toa kokwa na katatkata) - 2 ½ vikombe
Mayai - 10
Siagi - 400 gms
Sukari ilosagwa - 3 vikombe
Baking powder - 3 vijiko vya chai
Bicarbonate soda - 1 kijiko cha chai
Maziwa ya unga - 3 vijiko vya kulia
Mtindi (yoghurt) - 1 kikombe
Mafuta - ¼ kikombe
Vanilla - 1 kijiko cha chai
Mdalasini wa unga - 1 kijiko cha chai
Hiliki - ½ kijiko cha chai
Chumvi - ½ kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Kidokezo: Unaweza kutoa keki mbili kutegemea na saizi ya treya unazotumia.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/106
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7645&title=Keki%20Ya%20Tende%20Ya%20%20Mdalasini