Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Rajab: Yaliyoanzishwa Bila Kuweko Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

Imaam Ibn Rajab: Yaliyoanzishwa Bila Kuweko Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

Kauli Za Salaf: Bid’ah [1]

Yaliyoanzishwa Bila Kuweko Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

 

Imaam Ibn Rajab  (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

Ibn Rajab (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Maana ya bid'ah ni yale yaliyoanzishwa ambayo hayana asili katika Shariy’ah yenye kuwafikiana nayo, na ama yale ambayo yana asili katika Shariy’ah basi si bid'ah, japokuwa ni bid'ah kilugha (kumaanisha kuwa kwa matumizi ya lugha ya Kiarabu inafahamika hivyo lakini ki-Shariy’ah  inakuwa ni kinyume na hayo matumizi ya kilugha).”

 

 

[Jaamiul ‘Uluwm Wal-Hikam, uk. 233]

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8081

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/221
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8081&title=Imaam%20Ibn%20Rajab%3A%20Yaliyoanzishwa%20Bila%20Kuweko%20Katika%20Shariy%E2%80%99ah%20Ni%20Bid%E2%80%99ah%20%20