Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Ramadhwaan: Nasiha Kwa Maimaam Wa Misikiti Waswalishe Qiyaamul-Layl Kwa Utulivu

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Ramadhwaan: Nasiha Kwa Maimaam Wa Misikiti Waswalishe Qiyaamul-Layl Kwa Utulivu

Kauli Za Salaf 'Ibaadah za Misimu [1]

 

Nasiha Kwa Maimaam Wa Misikiti Waswalishe Qiyaamul-Layl Kwa Utulivu

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

Wengi miongoni mwa Maimaam wa Misikiti huharakiza katika Tarawiyh kwenye kurukuu na kusujudu, huharakiza mno, jambo ambalo linaharibuu Swalaah na inawatia mashakani Waumini walio dhafi, na wengine pia huenda wakaharakiza jambo ambalo linapoteza Twumaaniynah (utulivu) ambao ni nguzo katika nguzo za Swalaah wala Swalaah haitimii bila ya Twumaaniynah.

 

 

[Kalimaat Min Dhahab lish-Shaykh Ibn ‘Uthaymiyn Rahimahu-Allaah bimunaasabah Istiqbaal Shahr Ramadhwaan]

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8365

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/271
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8365&title=Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Ramadhwaan%3A%20Nasiha%20Kwa%20Maimaam%20Wa%20Misikiti%20Waswalishe%20Qiyaamul-Layl%20Kwa%20Utulivu