Buns Tamu Za Siagi
Vipimo
Unga gilasi 3
Siagi vijiko 4 – 5 vya kulia
Sukari ½ kikombe
Maziwa kikombe 1
Maji kikombe 1 ¼
Hamira kijiko 1 cha chai
Yai 1
Mtindi (yoghurt/maziwa lala) kijiko 1 cha kulia
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8538&title=Buns%20Tamu%20Za%20Siagi%20