Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Nasaha Kwa Wanafunzi Kuacha Kibri Na Jeuri Kwa Elimu Waliyokuwa Nayo

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Nasaha Kwa Wanafunzi Kuacha Kibri Na Jeuri Kwa Elimu Waliyokuwa Nayo

Kauli Za Salaf: Aadab-Maadili [1]

 

Nasaha Kwa Wanafunzi Kuacha Kibri Na Jeuri Kwa Elimu Ndogo Waliyokuwa Nayo

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Baadhi ya watafutaji elimu (wanafunzi) hivi sasa (zama hizi) wana ususuavu kuliko hata Mabedui.

 

Hana bashasha, wala kusalimia, wala unyenyekevu.

 

Bali baadhi ya watu, kila anapozidi kuwa na elimu ndipo huzidi kiburi -Allaah Atukinge-.

 

Na Msomi (Mwenye elimu) wa kweli ni yule ambaye kila anapozidi kuwa na elimu ndipo huzidi kuwa na unyenyekevu."

 

 

[Liqaau Al-Baab Al-Maftuwh, 232]

 

 

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8659

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/226
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8659&title=Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Nasaha%20Kwa%20Wanafunzi%20Kuacha%20Kibri%20Na%20Jeuri%20Kwa%20Elimu%20Waliyokuwa%20Nayo