Ahlul-Baatwil Wanakhitilafiana Lakini Wanaungana Kuwafanyia Uadui Ahlul-Haqq
Imaam Qataadah (Rahimahu Allaah)
Imaam Qataadah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Utakuta Ahمuli-Baatwil (Watu wa Baatwil) wanakhitilafiana ushahidi wao, na hawaa (matamanio) yao, na ‘amali zao, lakini wanajumuika (wanaungana) katika kuwafanyia uadui Ahlul-Haqq (Watu wa Haqq).”
[Tafsiyr Atw-Twabariy (23/292)]
*Kama ambavyo tunavyoona leo hii wanavyoungana Maibaadhi (Khawaarij) Na Mashia (Raafidhwah) kuwapiga vita Ahlus-Sunnah Wal-Jamaa'ah (Salafi).
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/273
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8877&title=Imaam%20Qataadah%3A%20Ahlul-Baatwil%20Wanakhitilafiana%20Lakini%20Wanaungana%20Kuwafanyia%20Uadui%20Ahlul-Haqq