Tahadharisho La Kitabu Cha Du’aa Al-Mustajaab Kimejaa Hadiyth Dhaifu Na Za Kutungwa
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Baada ya swali kuhusu kitabu cha Du’aa Al-Mustajaab, Al-Lajnah Ad-Daaimah Lil-Buhuwth Al-'Ilmiyyah Wal-Iftaa (Kamati ya Kudumu ya Utoaji Fatwa na Tafiti za Kielimu) wamejibu:
"Kitabu cha Ad-Du'aa Al-Mustajaab si cha kutegemewa kwa sababu kimekusanya idadi kubwa ya Ahaadiyth dhaifu na za kutungwa. Kwa hiyo Ahul-‘Ilm wamekitahadharisha.”
[Fataawa Al-Lajnah Ad-Daaimah, (2/449)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/203
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8987&title=Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Tahadharisho%20La%20Kitabu%20Cha%20Du%E2%80%99aa%20Al-Mustajaab%20Kimejaa%20Hadiyth%20Dhaifu%20Na%20Za%20Kutungwa